Matendo 8:10 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192110 Wote wakamsikiliza kwa muda mwingi, tangu mdogo hatta mkubwa, wakisema, Mtu huyu ni nweza wa Mungu, ule mkuu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Watu wote, wadogo kwa wakubwa, walimsikiliza kwa makini wakisema, “Simoni ndiye nguvu ya kimungu inayoitwa ‘Nguvu Kubwa.’” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Watu wote, wadogo kwa wakubwa, walimsikiliza kwa makini wakisema, “Simoni ndiye nguvu ya kimungu inayoitwa ‘Nguvu Kubwa.’” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Watu wote, wadogo kwa wakubwa, walimsikiliza kwa makini wakisema, “Simoni ndiye nguvu ya kimungu inayoitwa ‘Nguvu Kubwa.’” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 nao watu wote, wakubwa kwa wadogo, wakamsikiliza na kustaajabu, wakisema, “Mtu huyu ndiye ajulikanaye kama Uweza Mkuu wa Mungu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 nao watu wote wakubwa kwa wadogo wakamsikiliza na kumaka, wakisema “Mtu huyu ndiye uweza wa Mungu ujulikanao kama ‘Uweza Mkuu.’ ” Tazama sura |