Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 7:53 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

53 ninyi mlioipokea torati kwa khuduma ya malaika wala hamkuishika.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

53 Nyinyi mliipokea ile sheria iliyoletwa kwenu na Malaika, lakini hamkuitii.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

53 Nyinyi mliipokea ile sheria iliyoletwa kwenu na Malaika, lakini hamkuitii.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

53 Nyinyi mliipokea ile sheria iliyoletwa kwenu na Malaika, lakini hamkuitii.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

53 Ninyi ndio mlipokea sheria zilizoletwa kwenu na malaika, lakini hamkuzitii.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

53 Ninyi ndio mlipokea sheria zilizoletwa kwenu na malaika, lakini hamkuzitii.”

Tazama sura Nakili




Matendo 7:53
10 Marejeleo ya Msalaba  

Aliyewapeni torati si Musa? wala hapana mmoja wenu aitendae torati. Mbona mnatafuta kuniua?


Yeye ndiye aliyekuwa katika kanisa jangwani pamoja na yule malaika aliyesema nae katika mlima Sinai, tena pamoja na baba zetu: ndiye aliyepokea maneno ya uzima atupe sisi.


Torali ni nini bassi? Iliingizwa kwa sababu ya makosa, hatta mzao atakapokuja aliyepewa ahadi; iliamriwa kwa utumishi wa malaika kwa mkono wa mjumbe.


Kwa maana hatta wao wenyewe waliotahiriwa hawaishiki sharia; bali wanataka ninyi mtahiriwe, wapate kujisifia miili yenu.


Kwa maana, ikiwa lile neno lililonenwa na malaika lilikuwa imara, na killa kosa na uasi ulipata ujira wa haki,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo