Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 5:23 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

23 wakarudi wakatoa khabari, wakisema, Gereza tumeikuta imefungwa salama salamini, nao walinzi wamesimama mbele ya mlango: lakini tuliponfungua hatukukuta mtu ndani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 wakisema, “Tulikuta gereza limefungwa kila upande na walinzi wakilinda milango. Lakini tulipofungua hatukumkuta mtu yeyote ndani.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 wakisema, “Tulikuta gereza limefungwa kila upande na walinzi wakilinda milango. Lakini tulipofungua hatukumkuta mtu yeyote ndani.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 wakisema, “Tulikuta gereza limefungwa kila upande na walinzi wakilinda milango. Lakini tulipofungua hatukumkuta mtu yeyote ndani.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Wakasema, “Tumekuta milango ya gereza imefungwa sawasawa na askari wa gereza wamesimama nje ya mlango, lakini tulipofungua milango hakuwepo mtu yeyote.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Wakasema, “Tumekuta milango ya gereza imefungwa sawasawa na askari wa gereza wamesimama nje ya mlango, lakini tulipofungua milango hakuwepo mtu yeyote ndani.”

Tazama sura Nakili




Matendo 5:23
13 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi wakatwaa mawe wamtupie; lakini Yesu akajificha, akatoka hekaluni.


lakini malaika wa Bwana akafungua milango ya gereza usiku, akawatoa, akasema,


Hatta watumishi walipofika hawakuwaona gerezani,


Kuhani mkuu na jemadari wa hekalu na makuhani wakuu waliposikia haya, wakaingiwa na mashaka kwa ajili yao, yatakuwaje mambo hayo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo