Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 5:20 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

20 Enendeni mkasimame hekaluni mkawaambie watu maneno yote ya uzima huu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 “Nendeni mkasimame hekaluni mkawaambie watu maneno yote ya uhai huu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 “Nendeni mkasimame hekaluni mkawaambie watu maneno yote ya uhai huu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 “Nendeni mkasimame hekaluni mkawaambie watu maneno yote ya uhai huu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 “Nendeni, mkasimame Hekaluni, mkawaambie watu maneno yote ya maisha haya mapya.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 “Nendeni, mkasimame Hekaluni mkawaambie watu maneno yote ya uzima huu mpya.”

Tazama sura Nakili




Matendo 5:20
21 Marejeleo ya Msalaba  

Niwaambialo ninyi katika giza, lisemeni kalika nuru; na msikialo kwa siri, likhubirini juu ya nyumba.


Hatta alipokwisha kuingia hekaluni, makuhani wakuu na wazee wa watu wakamwendea alipokuwa akifundisha, wakinena, Kwa mamlaka gani unafanya haya? Na nani aliyekupa mamlaka haya?


Nami najua ya kuwa agizo lake ni uzima wa milele: bassi haya ninenayo mimi, kama Baba alivyoniambia, ndivyo ninenavyo.


Na uzima wa milele ni huu, wakujue wewe, Mungu wa peke yake, wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.


kwa kuwa maneno uliyonipa nimewapa wao; wakavapokea, wakajua hakika ya kuwa nalitoka kwako, wakaamini ya kwamba ndiwe uliyenituma.


Yesu akamjibu, Mimi nimesema na ulimwengu kwa wazi; mimi siku zote nalifundisha katika masunagogi na katika hekalu, wakusanyikapo Wayahudi siku zote; wala kwa siri sikusema neno.


Roho ndiyo itiayo uzima; mwili haufai kitu; maneno ninayowaambieni ni roho, tena ni uzima.


Bassi Simon Petro akamjibu, Bwana! twende kwa nani? Wewe una maneno ya uzima wa milele.


atakaekuambia maneno ambayo utaokolewa nayo, wewe na nyumba yako yote.


Ndugu zangu, wana wa ukoo wa Ibrahimu, nao miongoni mwenu mnaomcha Mungu, kwenu ninyi neno la wokofu huu limepelekwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo