Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 5:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

18 wakawakamata mitume wakawaweka ndani ya gereza;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Basi, wakawatia nguvuni, wakawafunga ndani ya gereza kuu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Basi, wakawatia nguvuni, wakawafunga ndani ya gereza kuu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Basi, wakawatia nguvuni, wakawafunga ndani ya gereza kuu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Wakawakamata mitume na kuwafunga gerezani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Wakawakamata mitume na kuwatia gerezani.

Tazama sura Nakili




Matendo 5:18
10 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu aliposikia ya kwamba Yohana amefungwa, akaenda zake hatta Galilaya;


Lakini kabla ya haya yote watawakamateni na kuwaudhini, watawapelekeni mbele ya sunagogi na gerezani, mkichukuliwa mbele ya wafalme na maliwali kwa ajili ya jina langu.


Wakawakamata, wakawaweka garezani hatta assubuhi; kwa kuwa imekwisha kuwa jioni.


Saul akaliharibu kanisa, akiingia killa nyumba, na kuwabarura wanaume na wanawake na kuwatupa gerezani.


Wao wakhudumu wa Kristo? (nanena kiwazimu), mimi zaidi; kwa kazi kuzidi sana; kwa mapigo kupita kiasi; kwa vifungo kuzidi sana; kwa mauti marra nyingi.


wengine walijaribiwa kwa dhihaka na mapigo, naam, kwa mafungo, na kwa kutiwa gerezani:


Usiogope mambo yatakavokupata: tazama mshitaki atawatupa baadhi yenu gerezani illi mjaribiwe, nanyi mtakuwa na mateso siku kumi. Uwe mwaminifu hatta kufa, nami nitakupa taji ya uzima.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo