Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 5:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

14 waamini wakazidi kuja kwa Bwana, wengi, wanaume ha wanawake:

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Idadi ya watu waliomwamini Bwana, wanaume kwa wanawake, iliongezeka zaidi na zaidi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Idadi ya watu waliomwamini Bwana, wanaume kwa wanawake, iliongezeka zaidi na zaidi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Idadi ya watu waliomwamini Bwana, wanaume kwa wanawake, iliongezeka zaidi na zaidi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Hata hivyo, waliomwamini Bwana Isa wakazidi kuongezeka, wanaume na wanawake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Hata hivyo, waliomwamini Bwana Isa wakazidi kuongezeka, wanaume na wanawake.

Tazama sura Nakili




Matendo 5:14
24 Marejeleo ya Msalaba  

Maana alikuwa mtu mwema, amejaa Roho Mtakatifu na imani: watu wengi wakajitia upande wa Bwana.


Nao waliolipokea neno lake kwa furaha wakabatizwa: na siku ile wakazidishiwa watu wapata elfu tatu.


wakimsifu Mungu, na kuwapendeza wutu wote. Bwana akalizidisha kanisa killa siku kwa wale waliokuwa wakiokolewa.


nikawaudhi watu wa Njia hii kiasi cha kuwaua, nikawafunga, nikiwatia gerezani, wanaume na wanawake.


Lakini wengi katika hao waliosikia lile neno waliamini: na hesabu ya watu ilikuwa kama elfu tano.


Nenu la Mungu likaenea: hesahu ya wanafunzi ikazidi sana katika Yerusalemi: jamii kubwa la makuhani wakaitii Imani.


Lakini walimpomwamini Filipo, akizikhubiri khabari njema za ufalme wa Mungu, na jina lake Yesu Kristo, wakabatizwa, wanaume na wanawake.


Saul akaliharibu kanisa, akiingia killa nyumba, na kuwabarura wanaume na wanawake na kuwatupa gerezani.


akataka ampe khati za kwenda Dameski zilizoandikwa kwa masunagogi, illi akiona watu wa Njia hii, waume kwa wake, awafunge na kuwaleta Yerusalemi.


Bassi makanisa wakapata raha katika Yahudi yote na Galilaya na Samaria, wakajengewa, wakiendelea katika kicho cha Bwana, na faraja ya Roho Mtakatifu.


Marra akaondoka. Na watu wote waliokaa Ludda na Saron wakamwona, wakamgeukia Bwana.


Ikajulikana katika Yoppa, katika mji mzima, watu wengi wakamwamini Bwana.


Tena pana ulinganifu gani kati ya Kristo na Belial? Au aammiye ana sehemu gani pamoja na asiyeamini? Tena pana mapatano gani ya hekalu ya Mungu na sanama?


Hapana Myahudi wala Myunani. Hapana mtumwa wala huru. Hapana mtu mume wala mtu mke. Maana ninyi nyote ni mmoja katika Kristo Yesu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo