Matendo 4:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19213 Wakawakamata, wakawaweka garezani hatta assubuhi; kwa kuwa imekwisha kuwa jioni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Basi, waliwatia nguvuni na kwa kuwa usiku ulikuwa umekaribia, wakawaweka chini ya ulinzi mpaka kesho yake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Basi, waliwatia nguvuni na kwa kuwa usiku ulikuwa umekaribia, wakawaweka chini ya ulinzi mpaka kesho yake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Basi, waliwatia nguvuni na kwa kuwa usiku ulikuwa umekaribia, wakawaweka chini ya ulinzi mpaka kesho yake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Wakawakamata Petro na Yohana na kuwafunga gerezani hadi kesho yake kwa kuwa ilikuwa jioni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Wakawakamata Petro na Yohana na kuwatia gerezani mpaka kesho yake kwa kuwa ilikuwa jioni. Tazama sura |