Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 4:23 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

23 Hatta walipofunguliwa, wakaenda kwa watu wao, wakawapasha khabari ya mambo yote waliyoambiwa na makuhani wakuu na wazee.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Mara tu walipoachwa huru, Petro na Yohane walirudi kwa wenzao, wakawaeleza yale waliyoambiwa na makuhani wakuu na wazee.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Mara tu walipoachwa huru, Petro na Yohane walirudi kwa wenzao, wakawaeleza yale waliyoambiwa na makuhani wakuu na wazee.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Mara tu walipoachwa huru, Petro na Yohane walirudi kwa wenzao, wakawaeleza yale waliyoambiwa na makuhani wakuu na wazee.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Punde Petro na Yohana walipoachiliwa, walirudi kwa waumini wenzao wakawaeleza waliyoambiwa na viongozi wa makuhani na wazee.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Punde Petro na Yohana walipoachiliwa, walirudi kwa waumini wenzao wakawaeleza waliyoambiwa na viongozi wa makuhani na wazee.

Tazama sura Nakili




Matendo 4:23
12 Marejeleo ya Msalaba  

Nao wakatoka gerezani wakaingia nyumbani mwa Ludia; na walipokwisha kuwaona ndugu wakawafariji, wakaenda zao.


maana umri wake yule mtu aliyefanyiwa ishara hii ya kuponya ulipita miaka arubaini.


Nao waliposikia, wakampaazia Mungu sauti zao kwa moyo mmoja, wakisema, Mola, wewe ndiwe Mungu, ndiwe uliyefanya mbingu na inchi na bahari na vitu vyote vilivyomo:


Tufuate:

Matangazo


Matangazo