Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 4:20 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

20 Kwamba ni haki mbele za Mungu kuwasikiliza ninyi kuliko Mungu, hukumuni ninyi wenyewe; maana sisi hatuwezi kuacha kuyanena mambo tuliyoyaona na kuyasikia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Kwa maana hatuwezi kuacha kusema juu ya mambo yale tuliyoyaona na kuyasikia.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Kwa maana hatuwezi kuacha kusema juu ya mambo yale tuliyoyaona na kuyasikia.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Kwa maana hatuwezi kuacha kusema juu ya mambo yale tuliyoyaona na kuyasikia.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Lakini sisi hatuwezi kuacha kusema yale tuliyoyaona na kuyasikia.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Lakini sisi hatuwezi kuacha kusema yale tuliyoyaona na kuyasikia.”

Tazama sura Nakili




Matendo 4:20
27 Marejeleo ya Msalaba  

kama walivyotuhadithia wale waliokuwa mashahidi, ua watumishi wa lile neno tokea mwanzo,


akianza tangu ubatizo wa Yohana, hatta siku ile alipochukuliwa kwetu kwenda juu, lazima mmoja wao afanywe shahidi wa kufufuka kwake pamoja nasi.


Lakini mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemi, na katika Yahudi yote, na Samaria, na hatta mwisho wa inchi.


Hatta Sila na Timotheo walipotelemka kutoka Makedonia, Paolo akashurutishwa rohoni mwake, akiwashuhudia Wayahudi ya kwamba Yesu ni Kristo.


Yesu huyo Mungu alimfufua, na sisi sote tu mashahidi wake.


Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema kwa lugha mbalimbali, kama Roho alivyowajalia kutamka.


Kwa maana utakuwa shahidi wake kwa watu wote, wa mambo hayo uliyoyaona na kuyasikia.


mkamwua yule Mkuu wa uzima, ambae Mungu amemfufua: na sisi tu mashahidi wake.


Na sisi tu mashahidi wa mambo haya, pamoja na Roho Mtakatifu ambae Mungu amewapa wote wamtiio.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo