Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 4:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

19 Petro na Yohana wakawajibu wakawaambia,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Lakini Petro na Yohane wakawajibu, “Amueni nyinyi wenyewe kama ni sawa mbele ya Mungu kuwatii nyinyi kuliko kumtii Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Lakini Petro na Yohane wakawajibu, “Amueni nyinyi wenyewe kama ni sawa mbele ya Mungu kuwatii nyinyi kuliko kumtii Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Lakini Petro na Yohane wakawajibu, “Amueni nyinyi wenyewe kama ni sawa mbele ya Mungu kuwatii nyinyi kuliko kumtii Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Lakini Petro na Yohana wakajibu, “Amueni ninyi wenyewe iwapo ni haki mbele za Mungu kuwatii ninyi kuliko kumtii Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Lakini Petro na Yohana wakajibu, “Amueni ninyi wenyewe iwapo ni haki mbele za Mungu kuwatii ninyi kuliko kumtii Mungu.

Tazama sura Nakili




Matendo 4:19
30 Marejeleo ya Msalaba  

Wakamwambia, Ya Kaisari. Akawaambia, Bassi, mlipeni Kaisari yaliyo ya Kaisari, na Mungu yaliyo ya Mungu.


Akapeleka Petro na Yohana, akisema, Enendeni, mkatuandikie pasaka, illi tuile.


Msihukumu hukumu ya macho, bali ifanyeni hukumu iliyo ya haki.


Bassi walipoona ujasiri wa Petro na Yohana, na kujua ya kuwa ni watu wasio elimu, wasio maarifa, wakastaajabu, wakawatambua ya kwamba walikuwa pamoja na Yesu.


Je! hatukuwaamuru ninyi kwa nguvu, msifundishe kwa jina hili: nanyi mmeijaza Yerusalemi mafundisho yenu, na mnataka kuleta damu ya mtu yule juu yetu.


Petro na mitume wakajibu, wakaaena, Imetupasa kumtii Mungu kuliko wana Adamu.


Nasema kama nti watu wenye akili; ufikirini ninyi ninenalo.


lakini tumekataa mambo ya aibu yaliyosetirika, wala hatuenendi kwa ujanja, wala kulichanganya neno la Mungu na uwongo; hali kwa kuidhihirisha iliyo kweli twajionyesha kuwa na haki, dhamiri za watu zikitushuhudia mhele za Mungu.


WATOTO, watiini wazazi wenn katika Bwana, maana hii ndio haki.


Maana hili ni zuri, lenye kibali mbele za Mwokozi wetu Mungu


Kwa imani Musa, alipozatiwa, akafichwa miezi mitatu na wazazi wake, kwa sababu waliona kwamba ni mtoto mzuri; wala hawakuiogopa amri ya mfalme.


je! hamkufanya ihtilafu mioyoni mwenu mkawa waamuzi wenye mawazo mabovu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo