Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 4:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

18 Wakawaita, wakawaagiza wasiseme kabisa wala kufundisha kwa jina la Yesu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Kwa hiyo wakawaita tena ndani, wakawaonya wasiongee tena hadharani, wala kufundisha kwa jina la Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Kwa hiyo wakawaita tena ndani, wakawaonya wasiongee tena hadharani, wala kufundisha kwa jina la Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Kwa hiyo wakawaita tena ndani, wakawaonya wasiongee tena hadharani, wala kufundisha kwa jina la Yesu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Kisha wakawaita tena ndani na kuwaamuru wasiseme wala kufundisha kamwe kwa hili jina la Isa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Kisha wakawaita tena ndani na kuwaamuru wasiseme wala kufundisha kamwe kwa hili jina la Isa.

Tazama sura Nakili




Matendo 4:18
7 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemi, na katika Yahudi yote, na Samaria, na hatta mwisho wa inchi.


Enendeni mkasimame hekaluni mkawaambie watu maneno yote ya uzima huu.


Je! hatukuwaamuru ninyi kwa nguvu, msifundishe kwa jina hili: nanyi mmeijaza Yerusalemi mafundisho yenu, na mnataka kuleta damu ya mtu yule juu yetu.


Wakakubali maneno yake; wakawaita mitume, wakawapiga, wakawaamuru wasinene kwa jina lake Yesu; kiisha wakawaacha waende zao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo