Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 4:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

15 Wakawaamuru kutoka katika baraza, wakafanya shauri, wakisemii, Tuwafanyieni watu hawa?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Hivyo, waliwaamuru watoke nje ya baraza, nao wakabaki ndani wakizungumza kwa faragha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Hivyo, waliwaamuru watoke nje ya baraza, nao wakabaki ndani wakizungumza kwa faragha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Hivyo, waliwaamuru watoke nje ya baraza, nao wakabaki ndani wakizungumza kwa faragha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Wakawaamuru watoke nje ya Baraza la Wayahudi, ili wasemezane jambo hilo wao wenyewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Wakawaamuru watoke nje ya Baraza la Wayahudi wakati wakisemezana jambo hilo wao kwa wao.

Tazama sura Nakili




Matendo 4:15
4 Marejeleo ya Msalaba  

Bali mimi nawaambiem, Killa amwoneae ndugu yake ghadhabu bila sababu, itampasa hukumu; na mtu akimwambia ndugu yake, Haka, itampasa baraza; na mtu akinena, Mpumbavu, itampasa jebannum ya moto.


Na wakimwona yule aliyeponywa akisimama pamoja nao hawakuwa na neno la kujibu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo