Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 4:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

14 Na wakimwona yule aliyeponywa akisimama pamoja nao hawakuwa na neno la kujibu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Lakini walipomwona yule mtu aliyeponywa amesimama pamoja nao, hawakuweza kusema kitu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Lakini walipomwona yule mtu aliyeponywa amesimama pamoja nao, hawakuweza kusema kitu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Lakini walipomwona yule mtu aliyeponywa amesimama pamoja nao, hawakuweza kusema kitu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Lakini kwa kuwa walikuwa wanamwona yule kiwete aliyeponywa amesimama pale pamoja nao, hawakuweza kusema lolote kuwapinga.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Lakini kwa kuwa walikuwa wanamwona yule kiwete aliyeponywa amesimama pale pamoja nao, hawakuweza kusema lolote kuwapinga.

Tazama sura Nakili




Matendo 4:14
7 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi kwa kuwa mambo haya hayawezi kukanushwa, imewapaseni kutulia, msifanye neno la haraka haraka.


jueni ninyi nyote na watu wote wa Israeli ya kuwa kwa jina la Yesu Mnazareti, ambae ninyi mlimsulibisha, Mungu akamfufua, kwa jina hilo mtu huyu anasimama mzima mbele yenu.


Bassi walipoona ujasiri wa Petro na Yohana, na kujua ya kuwa ni watu wasio elimu, wasio maarifa, wakastaajabu, wakawatambua ya kwamba walikuwa pamoja na Yesu.


Wakawaamuru kutoka katika baraza, wakafanya shauri, wakisemii, Tuwafanyieni watu hawa?


maana ishara mashuhuri imefanywa nao, iliyo dhabiri kwa watu wote wakaao Yerusalemi, wala hatuwezi kuikana.


Nao walipokwisha kuwaogofya tena wakawafungua, wasione njia ya kuwaadhibu, kwa sababu ya watu: kwa kuwa watu wote walikuwa wakimtukuza Mungu kwa hayo yaliyotendeka:


Tufuate:

Matangazo


Matangazo