Matendo 3:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192115 mkamwua yule Mkuu wa uzima, ambae Mungu amemfufua: na sisi tu mashahidi wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Basi, mlimuua yule ambaye ni chanzo cha uhai. Lakini Mungu alimfufua, na sisi ni mashahidi wa tukio hilo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Basi, mlimuua yule ambaye ni chanzo cha uhai. Lakini Mungu alimfufua, na sisi ni mashahidi wa tukio hilo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Basi, mlimuua yule ambaye ni chanzo cha uhai. Lakini Mungu alimfufua, na sisi ni mashahidi wa tukio hilo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Hivyo mkamuua aliye chanzo cha uzima, lakini Mungu akamfufua kutoka kwa wafu. Sisi tu mashahidi wa mambo haya. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Hivyo mkamuua aliye chanzo cha uzima, lakini Mungu akamfufua kutoka kwa wafu. Sisi tu mashahidi wa mambo haya. Tazama sura |