Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 3:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

1 BASSI Petro na Yohana walikuwa wakipanda pamoja kwenda hekaluni, saa ya kusali, saa tissa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Siku moja, saa tisa alasiri, Petro na Yohane walikuwa wakienda hekaluni, wakati wa sala.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Siku moja, saa tisa alasiri, Petro na Yohane walikuwa wakienda hekaluni, wakati wa sala.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Siku moja, saa tisa alasiri, Petro na Yohane walikuwa wakienda hekaluni, wakati wa sala.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Siku moja, Petro na Yohana walikuwa wanapanda kwenda Hekaluni kusali, yapata saa tisa alasiri.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Siku moja Petro na Yohana walikuwa wanapanda kwenda Hekaluni kusali yapata saa tisa alasiri.

Tazama sura Nakili




Matendo 3:1
27 Marejeleo ya Msalaba  

NA baada ya siku sita Yesu akawachukua Petro, na Yakobo, na Yohana ndugu yake, akawaleta juu ya mlima mrefu peke yao;


Akamchukua Petro na wana wawili wa Zebedayo, akaanza kufadhaika, na kuhuzunika moyo.


Tangu saa sita palikuwa giza juu ya inchi yote hatta saa tissa.


Na mkutano wote wa watu walikuwa wakisali nje, saa ya kufukiza.


Watu wawili walipanda hekaluni kusali; mmoja Farisayo, wa pili mtoza ushuru.


Akapeleka Petro na Yohana, akisema, Enendeni, mkatuandikie pasaka, illi tuile.


wakawa daima ndani ya hekalu, wakimsifu Mungu na kumhimidi. Amin.


Bassi mwanafunzi yule ambae Yesu alimpenda akamwambia Petro, Ndiye Bwana. Bassi Simon Petro, aliposikia ya kwamba ni Bwana, akajifunga vazi lake (maana alikuwa uchi), akajitupa baharini.


Akaona katika njozi wazi wazi, panapo saa tissa ya mchana, malaika wa Mungu akimjia na kumwambia, Kornelio!


Kornelio akanena, Leo ni siku ya nne tangu nilijiokuwa nikifunga hatta saa hii: na saa tissa nalikuwa nikisali nyumbani mwangu: kumbe! mtu amesimama mbele yangu, mwenye nguo zingʼaazo, akasema,


Na siku zote kwa moyo mmoja walidumu ndani ya hekalu, wakimega mkate nyumba kwa nyumba, na kupokea chakula chao kwa furaha na kwa moyo mweupe,


Mtu huyu akiwaona Petro na Yohana wakiingia hekaluni aliomba apewe sadaka.


Na Petro, akimkazia macho, pamoja na Yohana, akasema, Tutazame sisi.


Bassi walipoona ujasiri wa Petro na Yohana, na kujua ya kuwa ni watu wasio elimu, wasio maarifa, wakastaajabu, wakawatambua ya kwamba walikuwa pamoja na Yesu.


Mtu mmoja akaja akawapasha khabari ya kama, Watu wale mliowaweka gerezani wako ndani ya hekalu, wamesimama wakiwafundisha watu.


Na mitume walioko Yerusalemi, waliposikia ya kwamba Samaria imelikubali neno la Mungu, wakawapelekea Petro na Yohana.


tena walipokwisha kuijua neema niliyopewa, Yakobo, na Kefa, na Yohana, wenye sifa kuwa ni nguzo, walinipa mimi na Barnaba mkono wa kuume wa shirika, illi sisi tuende kwa mataifa, na wao waende kwa watu wa tohara;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo