Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 28:29 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

29 Alipokwisha kusema haya, Wayahudi wakaenda zao, wakiulizana mengi wao kwa wao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Paulo alipokwisha sema hayo, Wayahudi walijiondokea huku wakiwa wanabishana vikali wao kwa wao.]

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Paulo alipokwisha sema hayo, Wayahudi walijiondokea huku wakiwa wanabishana vikali wao kwa wao.]

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Baada yake kusema maneno haya, Wayahudi wakaondoka wakiwa na hoja nyingi miongoni mwao.]

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Naye akiisha kusema maneno haya, Wayahudi wakaondoka wakiwa na hoja nyingi miongoni mwao.]

Tazama sura Nakili




Matendo 28:29
6 Marejeleo ya Msalaba  

Msidhani ya kuwa nalikuja kueneza amani duniani; la! sikuja kueneza amani, bali upanga.


Je! wadhani kwamba nimekuja niipe dunia amani? Nawaambieni, Sivyo, bali mafarakano.


Bassi watu wengi katika makutano waliposikia neno lile, walinena, Huyu hakika yake ndiye nabii yule.


Na walipokuwa hawapatani wao kwawao, wakaenda zao, Paolo alipokwisha kusema neno hili moja ya kama, Roho Mtakatifu alinena vema na baba zetu, kwa kinywa cha nabii Isaya,


Bassi ijulikane kwenu ya kwamba wokofu huu wa Mungu umepelekwa kwa mataifa, nao watasikia.


Paolo akakaa muda wa miaka miwili mizima katika nyumba yake aliyokuwa ameipanga, akawakaribisha watu wote waliokuwa wakimwendea, akikhubiri khabari za ufalme wa Mungu, na kuwafundisha watu mambo ya Bwana Yesu Kristo, kwa ujasiri mwingi, asikatazwe na mtu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo