Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 28:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

18 Na hao walipokwisha kuniuliza walitaka kunifungua, kwa maana hapakuwa na sababu yo yote ya kuuawa kwangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Waliponihoji na kuona kwamba sikuwa na hatia yoyote, walitaka kuniachia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Waliponihoji na kuona kwamba sikuwa na hatia yoyote, walitaka kuniachia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Waliponihoji na kuona kwamba sikuwa na hatia yoyote, walitaka kuniachia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Wao walipokwisha kunihoji, wakataka kuniachia huru kwa sababu hawakuona kosa lolote nililolifanya linalostahili adhabu ya kifo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Wao walipokwisha kunihoji, wakataka kuniachia huru kwa sababu hawakuona kosa lolote nililolifanya linalostahili adhabu ya kifo.

Tazama sura Nakili




Matendo 28:18
8 Marejeleo ya Msalaba  

Siku ya pili yake akitaka kujua hakika, ni kwa sababu gani ameshitakiwa na Wayahudi, akamfungua, akawaamuru makuhani wakuu na baraza yote waje. Akamleta Paolo chini, akamweka mbele yao.


nikaona kwamba ameshitakiwa kwa ajili ya maswali ya sharia yao, wala hakushitakiwa neno lo lote la kustahili kuuawa wala kufungwa.


Na liwali alipompungia mkono illi anene, Paolo akajibu, Kwa kuwa ninajua kama wewe umekuwa mwamuzi wa taifa hili kwa muda wa miaka mingi, najitetea nafsi yangu kwa moyo wa furaha.


Bassi Feliki, alijiokwisha kusikia haya, aliwaakhirisha, kwa sababu alijua khabari za Njia ile kwa usahihi zaidi, akasema, Lusia jemadari, atakapotelemka nitakata maneno yenu.


Nami nilipoona kama hakutenda neno la kustahili kuuawa, na yeye mwenyewe alipotaka kuhukumiwa na Augusto, nalikusudia kumpeleka kwake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo