Matendo 28:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192118 Na hao walipokwisha kuniuliza walitaka kunifungua, kwa maana hapakuwa na sababu yo yote ya kuuawa kwangu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Waliponihoji na kuona kwamba sikuwa na hatia yoyote, walitaka kuniachia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Waliponihoji na kuona kwamba sikuwa na hatia yoyote, walitaka kuniachia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Waliponihoji na kuona kwamba sikuwa na hatia yoyote, walitaka kuniachia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Wao walipokwisha kunihoji, wakataka kuniachia huru kwa sababu hawakuona kosa lolote nililolifanya linalostahili adhabu ya kifo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Wao walipokwisha kunihoji, wakataka kuniachia huru kwa sababu hawakuona kosa lolote nililolifanya linalostahili adhabu ya kifo. Tazama sura |