Matendo 28:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192116 Tulipoingia Rumi akida akawatia wafungwa katika mikono ya jemadari wa walinzi wa Praitorio: bali Paolo alipewa rukhusa kukaa kwake mwenyewe pamoja na askari aliyemlinda. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Tulipofika Roma, Paulo aliruhusiwa kukaa peke yake pamoja na askari mmoja wa kumlinda. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Tulipofika Roma, Paulo aliruhusiwa kukaa peke yake pamoja na askari mmoja wa kumlinda. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Tulipofika Roma, Paulo aliruhusiwa kukaa peke yake pamoja na askari mmoja wa kumlinda. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Tulipofika Rumi, Paulo aliruhusiwa kuishi peke yake akiwa na askari wa kumlinda. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Tulipofika Rumi, Paulo aliruhusiwa kuishi peke yake akiwa na askari wa kumlinda. Tazama sura |