Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 27:32 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

32 Bassi askari wakazikata kamba za mashua, wakaiacha ianguke.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Hapo wale askari walizikata kamba zilizokuwa zimeshikilia ule mtumbwi, wakauacha uchukuliwe na maji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Hapo wale askari walizikata kamba zilizokuwa zimeshikilia ule mtumbwi, wakauacha uchukuliwe na maji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Hapo wale askari walizikata kamba zilizokuwa zimeshikilia ule mtumbwi, wakauacha uchukuliwe na maji.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Hivyo basi wale askari wakakata kamba zilizoshikilia ile mashua ya kuokolea watu kwenye meli, wakaiacha ianguke humo baharini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Hivyo basi wale askari wakakata kamba zilizoshikilia ile mashua ya kuokolea watu kwenye meli, wakaiacha ianguke humo baharini.

Tazama sura Nakili




Matendo 27:32
5 Marejeleo ya Msalaba  

Yule bwana akamsifu wakili asiye haki, kwa kuwa alitenda kwa busara: kwa maana wana wa zamani hizi wana busara kuliko wana wa nuru, katika kizazi chao wenyewe.


Akafanya mjeledi kwa kambaa akawatoa wote katika hekalu, na kondoo, na ngʼombe, akamwaga fedha yao wenye kuvunja fedha, akazipindua meza zao;


Paolo akawaambia akida na askari, Hawa wasipokaa ndani ya marikebu hamtaweza kuokoka.


Na kulipokuwa kukipambazuka Paolo akawasihi wote wale chakula, akisema, Leo ni siku ya kumi na nne kungoja na kufunga, hamkula kitu cho chote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo