Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 26:26 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

26 Kwa maana mfalme anajua khabari za mambo haya, na naweza kusema nae bila khofu, kwa sababu najua sana ya kuwa hapana neno moja katika hayo asilolijua; kwa maana jambo hilo halikutendeka pembeni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Wewe Mfalme unayafahamu mambo haya, kwa hiyo ninaweza kuongea bila woga mbele yako. Sina mashaka kwamba matukio hayo yanajulikana kwako maana jambo hili halikutendeka mafichoni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Wewe Mfalme unayafahamu mambo haya, kwa hiyo ninaweza kuongea bila woga mbele yako. Sina mashaka kwamba matukio hayo yanajulikana kwako maana jambo hili halikutendeka mafichoni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Wewe Mfalme unayafahamu mambo haya, kwa hiyo ninaweza kuongea bila woga mbele yako. Sina mashaka kwamba matukio hayo yanajulikana kwako maana jambo hili halikutendeka mafichoni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Naam, mfalme anajua kuhusu mambo haya yote, nami nasema naye kwa uhuru. Kwa sababu nina hakika kwamba hakuna hata mojawapo ya mambo haya asilolijua, kwa kuwa hayakufanyika mafichoni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Naam, Mfalme anajua kuhusu mambo haya yote, nami nasema naye kwa uhuru. Kwa sababu nina hakika kwamba hakuna hata mojawapo ya mambo haya asilolijua, kwa kuwa hayakufanyika mafichoni.

Tazama sura Nakili




Matendo 26:26
9 Marejeleo ya Msalaba  

Wakanena, Sio wakati wa siku kuu, isije ikatokea ghasia katika watu.


Agrippa akamwambia Festo, Mimi nami nalikuwa nikitaka kumsikia mtu huyu. Akasema, Utamsikia kesho.


Mfalme Agrippa, wawaamini manabii? Najua ya kuwa wawaamini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo