Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 25:27 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

27 Kwa maana naona ni neno lisilo maana kumpeleka mfungwa, bila kuonyesha mashitaka yale aliyoshitakiwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Kwa maana nadhani itakuwa kichekesho kumpeleka mfungwa bila kutaja wazi mashtaka yanayomkabili.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Kwa maana nadhani itakuwa kichekesho kumpeleka mfungwa bila kutaja wazi mashtaka yanayomkabili.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Kwa maana nadhani itakuwa kichekesho kumpeleka mfungwa bila kutaja wazi mashtaka yanayomkabili.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 Kwa kuwa naona hakuna sababu ya kumpeleka mfungwa bila kuainisha mashtaka dhidi yake.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 Kwa kuwa naona hakuna sababu ya kumpeleka mfungwa bila kuainisha mashtaka dhidi yake.”

Tazama sura Nakili




Matendo 25:27
4 Marejeleo ya Msalaba  

Je! sharia yetu humhukumti mtu kabla ya kumsikia kwanza na kujua atendavyo?


Nami sina neno la hakika la kumwandikia Bwana. Kwa hiyo nimemleta hapa mbele yenu, illi akiisha kuulizwa khabari zake, nipate neno la kuandika.


AGRIPPA akamwambia Paolo, Una rukhusa kusema mimeno yako. Ndipo Paolo akanyosha mkono wake, akajitetea.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo