Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 25:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

15 nami nilipokuwa Yerusalemi makuhani wakuu na wazee wa Wayahudi wakaniarifu khabari zake, wakitaka ahukumiwe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Nilipokwenda Yerusalemu makuhani wakuu na wazee wa Wayahudi walimshtaki na kuniomba nimhukumu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Nilipokwenda Yerusalemu makuhani wakuu na wazee wa Wayahudi walimshtaki na kuniomba nimhukumu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Nilipokwenda Yerusalemu makuhani wakuu na wazee wa Wayahudi walimshtaki na kuniomba nimhukumu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Nilipokuwa huko Yerusalemu, viongozi wa makuhani na wazee wa Wayahudi walinijulisha habari zake na wakaomba hukumu dhidi yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Nilipokuwa huko Yerusalemu, viongozi wa makuhani na wazee wa Wayahudi walinijulisha habari zake na wakaomba hukumu dhidi yake.

Tazama sura Nakili




Matendo 25:15
5 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini wakakaza kusema kwa santi kuu, wakitaka asulibiwe; zikashinda sauti zao na za makuhani wakuu.


BAADA ya siku tano, Anania, kuhani mkuu, akatelemka na baadhi ya wazee pamoja nae, na msemi mmoja, Tertullo nao wakamweleza liwali khabari za Paolo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo