Matendo 24:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19216 Na tena alijaribu kuitia hekalu najis: tukamkamata: tukataka kumhukumu kwa sharia yetu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Tena alijaribu kulikufuru hekalu, nasi tukamtia nguvuni. [Tulitaka kumhukumu kufuatana na sheria yetu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Tena alijaribu kulikufuru hekalu, nasi tukamtia nguvuni. [Tulitaka kumhukumu kufuatana na sheria yetu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Tena alijaribu kulikufuru hekalu, nasi tukamtia nguvuni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 na hata amejaribu kulinajisi Hekalu, hivyo tukamkamata. [Tukataka kumhukumu kufuatana na sheria zetu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 na hata amejaribu kulinajisi Hekalu, hivyo tukamkamata; [tukataka kumhukumu kufuatana na sheria zetu. Tazama sura |