Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 24:26 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

26 Tena alitaraja kwamba atapewa fedha na Paolo illi amfungue: kwa hiyo alimwita marra nyingi akaongea nae.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Wakati huohuo alikuwa anatumaini kwamba Paulo angempa fedha. Kwa sababu hii alimwita Paulo mara kwa mara na kuzungumza naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Wakati huohuo alikuwa anatumaini kwamba Paulo angempa fedha. Kwa sababu hii alimwita Paulo mara kwa mara na kuzungumza naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Wakati huohuo alikuwa anatumaini kwamba Paulo angempa fedha. Kwa sababu hii alimwita Paulo mara kwa mara na kuzungumza naye.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Wakati huo Feliksi alitazamia kwamba Paulo angempa rushwa. Hivyo akawa anamwita mara kwa mara na kuzungumza naye.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Wakati huo Feliksi alitazamia kwamba Paulo angempa rushwa. Hivyo akawa anamwita mara kwa mara na kuzungumza naye.

Tazama sura Nakili




Matendo 24:26
29 Marejeleo ya Msalaba  

Wakawatokea Musa na Eliya, wakizumgumza nae.


Baada ya miaka mingi nalifika niwaletee watu wa taifa langu sadaka na matoleo.


Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike. Waasharati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wa kike, wala wafira,


Na katika kutamani watajipatia faida kwenu kwa maneno yaliyotungwa: hukumu yao tangu zamani haikawii, wala upotevu wao hausinzii.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo