Matendo 24:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192116 Nami ninajizoeza katika neno hili kuwa na dhamiri isiyo na khatiya mbele ya Mungu na mbele ya watu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Kwa hiyo ninajitahidi daima kuwa na dhamiri njema mbele ya Mungu na mbele ya watu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Kwa hiyo ninajitahidi daima kuwa na dhamiri njema mbele ya Mungu na mbele ya watu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Kwa hiyo ninajitahidi daima kuwa na dhamiri njema mbele ya Mungu na mbele ya watu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Kwa hiyo ninajitahidi siku zote kuwa na dhamiri safi mbele za Mungu na mbele za wanadamu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Kwa hiyo ninajitahidi siku zote kuwa na dhamiri safi mbele za Mungu na mbele za wanadamu. Tazama sura |