Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 23:34 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

34 Alipoarifiwa ya kuwa ni mtu wa Kilikia, akasema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Felisi alipoisoma hiyo barua aliwauliza Paulo ametoka mkoa gani. Alipofahamishwa kwamba alikuwa ametoka mkoa wa Kilikia,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Felisi alipoisoma hiyo barua aliwauliza Paulo ametoka mkoa gani. Alipofahamishwa kwamba alikuwa ametoka mkoa wa Kilikia,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Felisi alipoisoma hiyo barua aliwauliza Paulo ametoka mkoa gani. Alipofahamishwa kwamba alikuwa ametoka mkoa wa Kilikia,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Mtawala alipokwisha kuisoma ile barua alimuuliza Paulo alikuwa mtu wa jimbo gani. Alipojua kuwa anatoka Kilikia,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Mtawala alipokwisha kuisoma ile barua alimuuliza Paulo alikuwa mtu wa jimbo gani. Alipojua kuwa anatoka Kilikia,

Tazama sura Nakili




Matendo 23:34
9 Marejeleo ya Msalaba  

Pilato aliposikia neno hili Galilaya, akauliza, Mtu huyu ni Mgalilaya?


Akapita katika Shami na Kilikia akawatia moyo makanisa.


Paolo akasema, Mimi ni mtu wa Kiyahudi, mtu wa Tarso, mji wa Kilikia, mwenyeji wa mji usio mnyonge. Nakuomba, nipe rukhusa niseme na wenyeji hawa.


HATTA Festo alipokwisha kuingia katika wilaya yake, baada ya siku tatu akapanda kwenda Yerusalemi kutoka Kaisaria.


Lakini baadhi ya watu wa sunagogi lililokwitwa sunagogi la Malibertino, na la Wakurene na la Waiskanderia, na la wale wa Kilikia na Asia, wakaondoka wakajadiliana na Stefano:


Tufuate:

Matangazo


Matangazo