Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 23:31 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

31 Bassi, wale askari wakamchukua Paolo kamu walivyoamriwa, wakampeleka hatta Antipatri usiku:

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Basi, hao askari walimchukua Paulo kama walivyoamriwa; wakampeleka usiku uleule mpaka Antipatri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Basi, hao askari walimchukua Paulo kama walivyoamriwa; wakampeleka usiku uleule mpaka Antipatri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Basi, hao askari walimchukua Paulo kama walivyoamriwa; wakampeleka usiku uleule mpaka Antipatri.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Hivyo askari, kwa kufuata maelekezo waliyopewa, wakamchukua Paulo wakati wa usiku na kumleta hadi Antipatri.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Hivyo askari, kwa kufuata maelekezo waliyopewa, wakamchukua Paulo wakati wa usiku na kumleta mpaka Antipatri.

Tazama sura Nakili




Matendo 23:31
5 Marejeleo ya Msalaba  

Sababu mimi nami ni mtu aliyewekwa chini ya mamlaka, nina askari chini yangu: nikimwambia huyu, Nenda, huenda: na huyu, Njoo, huja; na mtumishi wangu, Fanya hivi, hufanya.


Hatta nilipopewa khabari kwamba patakuwa na vitimbi juu ya mtu huyu, marra nikampeleka kwako, nikawaagiza na wale walioshitaki, wanene khabari zake mbele yako. Salamu.


hatta assubuhi wakawaacha wale wapanda farasi waende pamoja nae, nao wakarudi zao ngomeni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo