Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 23:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

2 Kuhani akawaamuru wale waliosimama karibu kumpiga kinywa chake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Hapo kuhani mkuu Anania akaamuru wale waliokuwa wamesimama karibu na Paulo wampige kofi mdomoni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Hapo kuhani mkuu Anania akaamuru wale waliokuwa wamesimama karibu na Paulo wampige kofi mdomoni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Hapo kuhani mkuu Anania akaamuru wale waliokuwa wamesimama karibu na Paulo wampige kofi mdomoni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Kwa ajili ya jambo hili kuhani mkuu Anania akaamuru wale waliokuwa karibu na Paulo wampige kofi kinywani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Kwa ajili ya jambo hili kuhani mkuu Anania akaamuru wale waliokuwa karibu na Paulo wampige kofi kinywani.

Tazama sura Nakili




Matendo 23:2
9 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo wakamtemea mate va uso, wakampiga konde; wengine wakampiga makofi,


Aliposema maneno haya, mmoja wa wale watumishi aliyesimama karibu akampiga Yesu koli, akinena, Wamjibu hivi kuhani mkuu?


Yesu akamjibu, Kama nimesema mabaya, yashuhudie yale mabaya; bali kama nimesema mema, wanipigia nini?


BAADA ya siku tano, Anania, kuhani mkuu, akatelemka na baadhi ya wazee pamoja nae, na msemi mmoja, Tertullo nao wakamweleza liwali khabari za Paolo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo