Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 23:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

12 Kulipopambazuka, baadhi ya Wayahudi wakafanya mapatano, wakajifunga kwa kiapo wakisema. Hatuli wala hatunywi hatta tutakapokwisha kumwua Paolo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Kulipokucha, Wayahudi walifanya kikao cha faragha. Wakala kiapo: “Hatutakula wala kunywa mpaka tutakapokuwa tumekwisha muua Paulo.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Kulipokucha, Wayahudi walifanya kikao cha faragha. Wakala kiapo: “Hatutakula wala kunywa mpaka tutakapokuwa tumekwisha muua Paulo.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Kulipokucha, Wayahudi walifanya kikao cha faragha. Wakala kiapo: “Hatutakula wala kunywa mpaka tutakapokuwa tumekwisha muua Paulo.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Kulipopambazuka Wayahudi wakapanga njama pamoja na kujifunga kwa kiapo kwamba hawatakula wala kunywa hadi wawe wamemuua Paulo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Kulipopambazuka Wayahudi wakafanya shauri pamoja na kujifunga kwa kiapo kwamba hawatakula wala kunywa mpaka wawe wamemuua Paulo.

Tazama sura Nakili




Matendo 23:12
33 Marejeleo ya Msalaba  

wakafanya shauri pamoja, illi wamkamate Yesu kwa hila na kumwua.


Ndipo akaanza kulaani na kuapa, Simjui mtu huyu. Marra akawika jogoo.


Watu wote wakajibu wakasema, Damu yake na iwe juu yetu, na juu ya watoto wetu.


Na hao walioapiana hivyo walipata watu arubaini.


Nao wakaenda kwa makuhani wakuu na wazee, wakasema, Tumejifunga kwa kiapo, tusionje kitu hatta tutakapomwua Paolo.


kwa maana watu zaidi ya arubaini wanamwotea, wamejifunga kwa kiapo wasile wala wasinywe hatta watakapomwua; nao sasa wako tayari, wakiitazamia ahadi kwako.


Hatta nilipopewa khabari kwamba patakuwa na vitimbi juu ya mtu huyu, marra nikampeleka kwako, nikawaagiza na wale walioshitaki, wanene khabari zake mbele yako. Salamu.


na kumwomba awafadhili, na kutoa amri aletwe Yerusalemi, wapate kumwotea na kumwua njiani.


Hatta siku nyingi zilipopita, Wayahudi wakafanya shauri illi wamwue:


lakini hila yao ikajulikana na Saul. Wakamvizia malangoni mchana na usiku wapate kumwua.


Mtu aliye yote asiyempenda Bwana Yesu Kristo, na awe anathema. Maranatha.


kwa kusafiri marra nyingi; khatari za mito; khatari za wanyangʼanyi; khatari kwa jamaa; khatari kwa mataifa; khatari za mijini; khatari za jangwani; khatari za baharini; khatari kwa ndugu za uwongo;


Kristo alitukomboa na laana ya sharia, kwa kuwa alifanywa laana kwa ajili yetu: maaua imeandikwa, Amelaaniwa killa mtu atuudikwae juu ya mti:


wakituzuia tusiseme na mataifa wapate kuokolewa; illi watimize dhambi zao siku zote; lakini hasira imewafikia hatta mwisho.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo