Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 22:26 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

26 Yule akida aliposikia, akaenda akamwarifu yule jemadari, akisema, Unataka kufanya nini? kwa maana mtu huyu ni Mrumi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Yule jemadari aliposikia hayo, alimpasha habari mkuu wa jeshi akisema, “Unataka kufanya nini? Mtu huyu ni raia wa Roma!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Yule jemadari aliposikia hayo, alimpasha habari mkuu wa jeshi akisema, “Unataka kufanya nini? Mtu huyu ni raia wa Roma!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Yule jemadari aliposikia hayo, alimpasha habari mkuu wa jeshi akisema, “Unataka kufanya nini? Mtu huyu ni raia wa Roma!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Yule kiongozi aliposikia maneno haya, alimwendea yule jemadari na kumwambia, “Unataka kufanya nini? Kwa maana huyu mtu ni raia wa Rumi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Yule kiongozi aliposikia maneno haya, alimwendea yule jemadari na kumwambia, “Unataka kufanya nini? Kwa maana huyu mtu ni raiya wa Rumi.”

Tazama sura Nakili




Matendo 22:26
5 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi kile kikosi na yule jemadari na wale watumishi wa Wayahudi wakamkamata Yesu, wakanifunga,


Hatta walipokwisha kumfunga kwa kamba, Paolo akamwambia akida aliyesimama karibu, Je! ni halali kumpiga mtu Mrumi nae hajahukumiwa bado?


Jemadari akaja, akamwambia, Niambie, u Mrumi? Akasema, Ndio.


Bassi wale waliokuwa tayari kumwuliza wakaondoka wakamwacha. Na yule jemadari nae akaogopa, alipojua ya kuwa ni Mrumi, na kwa sababu amemfunga.


Mtu huyu alikamatwa na Wayahudi, akawa karibu kuuawa nao, nikaenda pamoja na kikosi cha askari nikamwokoa, nilipopata khabari ya kuwa yeye ni Mrumi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo