Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 21:9 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

9 Mtu huyu alikuwa na binti wane, mabikira, waliotabiri.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Alikuwa na binti wanne ambao walikuwa na kipaji cha unabii.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Alikuwa na binti wanne ambao walikuwa na kipaji cha unabii.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Alikuwa na binti wanne ambao walikuwa na kipaji cha unabii.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Filipo alikuwa na binti wanne mabikira waliokuwa wanatoa unabii.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Filipo alikuwa na binti wanne mabikira waliokuwa wanatoa unabii.

Tazama sura Nakili




Matendo 21:9
13 Marejeleo ya Msalaba  

Kulikuwa na Auna, nabii mke, binti Fanueli, wa kabila ya Asher; nae kongwe wa siku nyingi, amekuwa na mume miaka saba baada ya ujana wake;


NA huko Antiokia katika kanisa lililokuwako palikuwa na manabii na waalimu, Barnaba na Sumeon aitwae Niger, na Lukio Mkurene, na Manaen aliyekuwa ndugu wa kunyonya wa Herode mfalme, na Saul.


Itakuwa siku za mwisho, asema Mungu, Nitawamwagia watu wote Roho yangu, Na wana wenu na binti zenu watatabiri, Na vijana wenu wataona maono: Na wazee wenu wataota ndoto:


Bassi, amwozae bikira wake afanya vyema; na yeye asiyemwoza afanya vyema zaidi.


Lakini nina maneno machache juu yako, ya kwamba wamwacha yule mwanamke Yezebel, yeye ajiitae nabii, nae awafundisha watumishi wangu na kuwapoteza, illi wazini na kula vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo