Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 21:35 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

35 Bassi alipolika darajani ilikuwa yeye kuchukuliwa na askari kwa sababu ya jeuri ya makutano.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

35 Paulo alipofika kwenye ngazi, askari walilazimika kumbeba kwa sababu ya fujo za watu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

35 Paulo alipofika kwenye ngazi, askari walilazimika kumbeba kwa sababu ya fujo za watu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

35 Paulo alipofika kwenye ngazi, askari walilazimika kumbeba kwa sababu ya fujo za watu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

35 Paulo alipofika penye ngazi, ilibidi askari wambebe juu juu kwa sababu fujo za umati ule wa watu zilikuwa kubwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

35 Paulo alipofika penye ngazi, ilibidi askari wambebe juu juu kwa sababu fujo za ule umati wa watu zilikuwa kubwa.

Tazama sura Nakili




Matendo 21:35
8 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwambia mtunzaji wa shamba la mizabibu, Tazama, miaka mitatu hii naja nikitafuta matunda katika mtini huu, nisipate. Ukate, kwa nini uiharibu inchi pia?


Bassi, alipompa rukhusa, Paolo akasimama madarajani, akawapunjia mkono wale wenyeji; na ilipokuwa kimya kabisa, akanena nao kwa lugha ya Kiebrania, akisema,


Lakini Lusia jemadari akafika, akampokonya mikononi mwetu kwa nguvu, akawaamuru wale waliomshitaki waje kwako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo