Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 21:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

15 Baada ya siku zile tukachukua vyombo vyetu tukapanda kwenda Yerusalemi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Baada ya kukaa pale kwa muda, tulifunga mizigo yetu, tukaendelea na safari kwenda Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Baada ya kukaa pale kwa muda, tulifunga mizigo yetu, tukaendelea na safari kwenda Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Baada ya kukaa pale kwa muda, tulifunga mizigo yetu, tukaendelea na safari kwenda Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Baada ya haya, tukajiandaa, tukaondoka kwenda Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Baada ya haya, tukajiandaa, tukaondoka kwenda Yerusalemu.

Tazama sura Nakili




Matendo 21:15
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akatweka, akatoka Efeso, na alipokwisha kushuka Kaisaria, akapanda juu, akawasalimu Kanisa, akatelemkia Antiokia.


Mambo hayo yalipokwisha kumalizika, Paolo akaazimu rohoni mwake kupita kati ya Makedonia na Akaia aende Yerusalemi, akisema, Baada ya kuwako huko, yanipasa kuuona na Rumi.


Bassi tuliposikia haya, sisi na watu wa mahali pale, tukamsihi asipande kwenda Yerusalemi.


HATTA Festo alipokwisha kuingia katika wilaya yake, baada ya siku tatu akapanda kwenda Yerusalemi kutoka Kaisaria.


Alipokwisha kukawia kwao siku kumi na zaidi, akatelemkia Kaisaria: hatta siku ya pili akaketi katika kiti cha hukumu akaamuru Paolo aletwe.


Lakini Festo akitaka kujipendekeza kwa Wayahudi akamjibu Paolo, akisema, Wataka kwenda Yerusalemi, ukahukumiwe huko mbele yangu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo