Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 20:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 Palikiuwa na taa nyingi katika orofa ile walipokuwa wamekusanyika.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Katika chumba tulimokuwa, ghorofani, kulikuwa na taa nyingi zinawaka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Katika chumba tulimokuwa, ghorofani, kulikuwa na taa nyingi zinawaka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Katika chumba tulimokuwa, ghorofani, kulikuwa na taa nyingi zinawaka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Kwenye chumba cha ghorofani walimokuwa wamekutania kulikuwa na taa nyingi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Kwenye chumba cha ghorofani walimokuwa wamekutania kulikuwa na taa nyingi.

Tazama sura Nakili




Matendo 20:8
4 Marejeleo ya Msalaba  

NDIPO ufalme wa mbinguni utakapofanana na wanawali kumi, waliotwaa taa zao, wakatoka kwenda kumlaki bwana arusi.


Na mtu yule atawaonyesha orofa kubwa iliyopambwa; huko andalieni.


Hatta walipoingia, wakapanda orofani, walipokuwa wakikaa; Petro, na Yakobo, na Yohana, na Andrea, Filipo na Tomaso, Bartolomayo na Mattayo, Yakobo wa Alfayo, na Simon Zelote, na Yuda wa Yakobo.


Kijana mmoja, jina lake Eutuko, ameketi dirishani, akalemewa na usingizi, akaanguka toka orofa ya tatu: akainuliwa amekwisha kufa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo