Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 20:36 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

36 Alipokwisha kunena haya akapiga magoti, akaomba pamoja nao wote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Baada ya kusema hayo, Paulo alipiga magoti pamoja nao wote, akasali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Baada ya kusema hayo, Paulo alipiga magoti pamoja nao wote, akasali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Baada ya kusema hayo, Paulo alipiga magoti pamoja nao wote, akasali.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Paulo alipomaliza kusema haya akapiga magoti pamoja nao wote akaomba.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Paulo alipomaliza kusema haya akapiga magoti pamoja nao wote akaomba.

Tazama sura Nakili




Matendo 20:36
9 Marejeleo ya Msalaba  

Akiisha akajitenga nao kadiri ya mtupo wa jiwe, akapiga magoti, akaomba, akisema,


Nimewapeni mfano katika mambo yote ya kuwa kwa kushika kazi hivi imewapaseni kuwasaidia wasio na nguvu, na kuyakumbuka maneno ya Bwana Yesu, jinsi alivyosema mwenyewe, Ni kheri kutoa kuliko kupokea.


Hatta tulipotimiza siku zile tukaondoka tukaenda zetu, na watu wote pamoja na wake zao na watoto wao wakatusindikiza hatta nje ya mji, wakapiga magoti pwani wakaomba:


Akapiga magoti, akalia kwa sauti kuu, Bwana, usiwahesabie dhambi hii. Akiisha kusema haya akalala.


Petro akawatoa wote, akapiga magoti, akaomba, akaielekea mayiti, akanena, Tabitha, ondoka. Nae akafumbua macho yake, na alipomwona Petro akajiinua, akaketi.


Kwa hiyo nampigia magoti Baba,


Msijisumbue kwa neno lo lote; bali katika killa neno kwa kusali na kuomba pamoja na kushukuru haja zenu zijulike kwa Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo