Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 20:33 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

33 Sikutamani fedha, wala dhahabu, wala mavazi ya mtu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Mimi sikutamani hata mara moja fedha, wala dhahabu, wala nguo za mtu yeyote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Mimi sikutamani hata mara moja fedha, wala dhahabu, wala nguo za mtu yeyote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Mimi sikutamani hata mara moja fedha, wala dhahabu, wala nguo za mtu yeyote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Sikutamani fedha wala dhahabu wala vazi la mtu yeyote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Sikutamani fedha wala dhahabu wala vazi la mtu yeyote.

Tazama sura Nakili




Matendo 20:33
13 Marejeleo ya Msalaba  

Ikiwa wengine wanashiriki uwezo huu juu yenu, sisi si zaidi? Lakini hatukuutumia uwezo huu; bali twayavumilia mambo yote tusije tukaizuia Injili ya Kristo.


Lakini sikutumia mambo haya hatta moja. Wala sikuvaandika haya illi iwe hivyo kwangu; maana ni kheri nife kuliko mtu aliye vote abatilishe huku kujisihi kwangu.


Bassi thawabu yangu ni nini? Ni hii, ya kuwa nikhubiripo, nitatoa Injili ya Kristo bila gharama, bila kutumia kwa utimilifu haki yangu niliyo nayo katika Injili.


Je! hatuna uwezo wa kula na kunywa?


Je! nalifanya dhambi kwa kujinyenyekea illi ninyi mtukuzwe, kwa sababu naliwakhubiri Injili ya Kristo bila ujira?


Nami nilipokuwa pamoja nanyi na kuhitaji sikumlemea mtu. Maana ndugu walipokuja kutoka Makedonia walinipa kadiri ya mahitaji yangu; na katika mambo yote nalijilinda nafsi yangu nisiwalemee hatta kidogo; tena nitajilinda.


Tupeni nafasi mioyoni mwenu. Hatukumdhulumu mtu, hatukumharibu mtu, hatukumkalamkia mtu.


Maana hatukuwa na maneno ya kujipendekeza wakati wo wote, kama mjuavyo, wala maneno ya kuficha tamaa; Muugu ni shahidi.


lichungeni kundi la Kristo lililo kwenu, na kulisimamia, si kwa kulazimishwa, bali kwa khiari; si kwa kutaka fedha ya aibu, bali kwa moyo;


Kwa maana, kwa ajili ya Jina hilo, walitoka, wasipokee kilu kwa mataifa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo