Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 20:27 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

27 Kwa maana sikujiepusha na kuwakhubirini khabari ya shauri lote la Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Kwa maana sikusita hata kidogo kuwatangazieni azimio lote la Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Kwa maana sikusita hata kidogo kuwatangazieni azimio lote la Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Kwa maana sikusita hata kidogo kuwatangazieni azimio lote la Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 Kwa kuwa sikusita kuwatangazia mapenzi yote ya Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 Kwa kuwa sikusita kuwatangazia mapenzi yote ya Mungu.

Tazama sura Nakili




Matendo 20:27
23 Marejeleo ya Msalaba  

mkiwafundisha kushika yote niliyowaamuru ninyi: nti tazama, mimi nipo pamoja nanyi sikuzote, hatta mwisho wa dunia. Amin.


Bali Mafarisayo na wana sharia walijikatalia shauri la Mungu kwa kuwa hawakubatizwa nae.


Siwaiti tena watumwa; kwa maana mtumwa hajui atendalo bwana wake; ninyi nimewaita rafiki; kwa kuwa yote niliyosikia kwa Baba nimewaarifuni.


Kwa maana Daud, akiisha kulitumikia shauri la Mungu katika kizazi chake, alilala, akawekwa pamoja na baba zake, akaona uharibifu.


mtu huyu alitwaliwa nanyi kwa shauri la Mungu lililokusudiwa, na kwa kujua kwake taugu zamani, nanyi mkamsulibisha kwa mikono mibaya, mkamwua:


ya kuwa sikuficha neno lo lote liwezaio kuwafaeni, bali naliwaonyesha na kuwafundisha kwa wazi na nyumba kwa nyumba,


Nimewapeni mfano katika mambo yote ya kuwa kwa kushika kazi hivi imewapaseni kuwasaidia wasio na nguvu, na kuyakumbuka maneno ya Bwana Yesu, jinsi alivyosema mwenyewe, Ni kheri kutoa kuliko kupokea.


Kwa maana mimi nalipokea kwa Bwana niliyowakhubirini, ya kuwa Bwana Yesu usiku ule aliotolewa alitwaa mkate,


lakini tumekataa mambo ya aibu yaliyosetirika, wala hatuenendi kwa ujanja, wala kulichanganya neno la Mungu na uwongo; hali kwa kuidhihirisha iliyo kweli twajionyesha kuwa na haki, dhamiri za watu zikitushuhudia mhele za Mungu.


Bassi, je! nimekuwa adui wenu kwa sababu nawa ambieni yaliyo kweli?


ambae ndani yake sisi tumepata urithi, tukichaguliwa tangu awali kwa kusudi lake yeye afanyae yote kwa shauri la nia yake;


bali kama vile tulivyopata kibali kwa Mungu tuaminiwe Injili ndivyo tunenavyo; si kama wapendezao wana Adamu bali Mungu anaetupima mioyo yetu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo