Matendo 20:25 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192125 Na sasa mimi najua ya kuwa ninyi nyote niliowakhubirini ufalme wa Mungu, nikienda huko na huko, hamtaniona uso tena. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 “Nimepita miongoni mwenu nyote nikiuhubiri ufalme wa Mungu. Sasa lakini, najua hakuna hata mmoja wenu atakayeniona tena. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 “Nimepita miongoni mwenu nyote nikiuhubiri ufalme wa Mungu. Sasa lakini, najua hakuna hata mmoja wenu atakayeniona tena. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 “Nimepita miongoni mwenu nyote nikiuhubiri ufalme wa Mungu. Sasa lakini, najua hakuna hata mmoja wenu atakayeniona tena. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 “Nami sasa najua kuwa hakuna hata mmoja miongoni mwenu niliowahubiria ufalme wa Mungu atakayeniona tena. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 “Nami sasa najua ya kuwa hakuna hata mmoja miongoni mwenu ambaye nimemhubiria Ufalme wa Mwenyezi Mungu katika kwenda kwangu huku na huko, atakayeniona uso tena. Tazama sura |