Matendo 20:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19212 Na, akiisha kupita pande zile na kuwafariji kwa maneno mengi, akafika Uyunani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Alipitia sehemu za nchi zile akiwatia watu moyo kwa maneno mengi. Halafu akafika Ugiriki Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Alipitia sehemu za nchi zile akiwatia watu moyo kwa maneno mengi. Halafu akafika Ugiriki Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Alipitia sehemu za nchi zile akiwatia watu moyo kwa maneno mengi. Halafu akafika Ugiriki Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Alipita katika sehemu zile, akinena na watu maneno mengi ya kuwatia moyo. Ndipo hatimaye akawasili Uyunani, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Alipita katika sehemu zile, akinena na watu maneno mengi ya kuwatia moyo. Ndipo hatimaye akawasili Uyunani, Tazama sura |