Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 20:17 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

17 Toka Mileto Faolo akatuma watu kwenda hatta Efeso, akawaita wazee wa Kanisa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Kutoka Mileto Paulo alituma ujumbe kwa wazee wa Efeso wakutane naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Kutoka Mileto Paulo alituma ujumbe kwa wazee wa Efeso wakutane naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Kutoka Mileto Paulo alituma ujumbe kwa wazee wa Efeso wakutane naye.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Paulo akiwa Mileto, alituma mjumbe kwenda Efeso kuwaita wazee wa kundi la waumini waje wakutane naye.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Paulo akiwa Mileto, alituma mjumbe kwenda Efeso kuwaita wazee wa kundi la waumini waje wakutane naye.

Tazama sura Nakili




Matendo 20:17
15 Marejeleo ya Msalaba  

Wakafanya hivyo, wakawapelekea wazee kwa mikono ya Barnaha na Saul.


Na walipokwisha kuchagua wazee katika killa mji, na kuomba pamoja na kufunga, wakawaweka kafika mikono ya Bwana waliyemwamini.


Wakaandika hivi kwa mikono yao, Mitume na wazee na ndugu, kwa ndugu zetu walioko Antiokia na Shami na Kilikia, walio wa mataifa, salamu.


Walipofika Yerusalemi wakakaribishwa na Kanisa na mitume na wazee, nao wakawaeleza mambo yote Mungu aliyoyafanya pamoja nao.


Mitume na wazee wakakusanyika wapate kulifikiri neno hilo.


Bassi walipokuwa wakipita kati ya miji ile, wakawapa zile amri zilizoamriwa na mitume na wazee walioko Yerusalemi, illi wazishike.


Wakalika Efeso, akawaacha huko. Yeye mwenyewe akaingia katika sunagogi, akahujiana na Wayahudi.


Tukatweka kutoka huko, na siku ya pili tukafika mahali panapokabili Kio: siku ya pili yake tukawasili Samos, tukakaa Trogullio, siku ya pili tukafika Mileto.


Jiangalieni nafsi zenu, na kundi lote, ambalo Roho Mtakatifu aliwakabidhi mlisimamie, kanisa lake Mungu, alilojipatia kwa damu yake mwenyewe.


Wazee watawalao vema wapewe heshima mardufu, khassa wao wajitaabishao kwa kukhutubu na kufundisha.


Kwa sababu hii nalikuaeba katika Krete, illi nyatengeneze yaliyosalia, na kuweka wazee katika killa mji kama nilivyokuamuru;


Mtu wa kwenu amekuwa hawezi? na awaite wazee wa kanisa wakamwombee, wakimpaka mafuta kwa jina la Bwana.


NAWASIHI wazee walio kwenu, mimi niliye mzee, mwenzi wao, na shahidi wa mateso ya Kristo, na mshirika wa utukufu utakaofunuliwa baadae;


MZEE kwa bibi mteule na watoto wake niwapendao katika kweli; wala si mimi peke yangu, bali na ndugu wote waijuao ile kweli;


MZEE kwa Gaio mpenzi, nimpendae katika kweli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo