Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 20:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

12 Wakamleta yule kijana, yu mzima, wakafarajika faraja kubwa sana.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Wale watu walimchukua yule kijana hadi nyumbani akiwa mzima kabisa, wakapata kitulizo kikubwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Wale watu walimchukua yule kijana hadi nyumbani akiwa mzima kabisa, wakapata kitulizo kikubwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Wale watu walimchukua yule kijana hadi nyumbani akiwa mzima kabisa, wakapata kitulizo kikubwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Watu wakamrudisha yule kijana nyumbani akiwa hai nao wakafarijika sana.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Watu wakamrudisha yule kijana nyumbani akiwa hai nao wakafarijika sana.

Tazama sura Nakili




Matendo 20:12
10 Marejeleo ya Msalaba  

Akapanda juu tena, akamega mkate, akala, akazidi kuongea nao hatta alfajiri, ndipo akaenda zake.


Sisi tukatangulia kwenda merikebuni, tukasafiri hatta Asso, tukikusudia kumpokea Paolo huko: kwa maana ndivyo alivyoagiza, yeye mwenyewe akiazimu kwenda kwa miguu.


atufarijiye katika shidda zetu zote illi tupate kuwafariji wale walio katika shidda za namna zote, kwa faraja tunazofarijiwa na Mungu.


ambae nilimpeleka kwenu kwa kusudi hili hili mpate kuyajua mambo yetu, nae akawafariji mioyo yenu.


tukamtuma Timotheo ndugu yetu, mtumishi wa Mungu, mfanya kazi pamoja naswi katika Injili ya Kristo, kuwafanya ninyi imara na kuwafariji kwa ajili ya imani yenu,


Bassi, farijianeni kwa maneno haya.


Bassi, farijianeni mkajengeane, killa mtu mwenzake, vile vile kama mnavyofanya.


Twawasihi, ndugu, waonyeni wale wasiokaa kwa taratihu, watieni moyo walio dhaifu, watieni nguvu wanyonge, vumilieni na watu wote.


Na Bwana wetu Yesu Kristo, na Mungu Baba yetu aliyetupenda akatupa faraja ya milele na tumaini jema, katika neema,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo