Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 2:37 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

37 Walipoyasikia haya wakachomwa mioyo yao, wakamwambia Petro na mitume wengine, Tutendeje, ndugu zetu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

37 Basi, watu waliposikia hayo, walichomwa moyo, wakawauliza Petro na wale mitume wenzake: “Ndugu zetu, tufanye nini?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

37 Basi, watu waliposikia hayo, walichomwa moyo, wakawauliza Petro na wale mitume wenzake: “Ndugu zetu, tufanye nini?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

37 Basi, watu waliposikia hayo, walichomwa moyo, wakawauliza Petro na wale mitume wenzake: “Ndugu zetu, tufanye nini?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

37 Watu waliposikia maneno haya yakawachoma mioyo yao, wakawauliza Petro na wale mitume wengine, “Ndugu zetu tufanye nini?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

37 Watu waliposikia maneno haya yakawachoma mioyo yao, wakawauliza Petro na wale mitume wengine, “Ndugu zetu tufanye nini?”

Tazama sura Nakili




Matendo 2:37
20 Marejeleo ya Msalaba  

Nao makutano wakamwuliza wakinena, Tufanyeni, bassi?


Watoza ushuru nao wakaja illi kubatizwa, wakamwambia, Mwalimu, tufanyeni?


Askari nao wakamwuliza wakisema, Nasi tufanyeni? Akawaambia, Msimtende jeuri mtu aliye yote, wala msitoze kitu bila haki; tena mwe radhi na mshsahara wenu.


Nao, waliposikia, wakashitakiwa na dhamiri zao, wakatoka mmoja mmoja, wakianza tangu wazee hatta wa mwisho; akabaki Yesu peke yake, na yule mwanamke akisimama katikati.


Ndugu imepasa andiko litimizwe, alilolinena Roho Mtakatifu zamani kwa kinywa cha Daud, katika khabari za Yuda, aliyekuwa kiongozi wao waliomkamata Yesu: kwa sababu alikuwa amehesabiwa pamoja na sisi,


Nikasema, Nifanye nini, Bwana? Bwana akaniambia, Simama, uende hatta Dameski, na huko utaambiwa khabari za mambo vote yaliyoamriwa uyafanye.


Waliposikia wakachomwa mioyo yao; wakafanya shauri kuwaua.


Bassi waliposikia maneno haya, wakachomwa mioyo, wakamsagia meno.


Na mimi nalikuwa hayi hapo kwanza hila sharia; illa ilipokuja ile amri, dhambi ilihuika, na mimi nikafa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo