Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 2:32 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

32 Yesu huyo Mungu alimfufua, na sisi sote tu mashahidi wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Basi, Mungu alimfufua huyo Yesu na sisi sote ni mashahidi wa tukio hilo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Basi, Mungu alimfufua huyo Yesu na sisi sote ni mashahidi wa tukio hilo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Basi, Mungu alimfufua huyo Yesu na sisi sote ni mashahidi wa tukio hilo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Mungu alimfufua huyu Isa, na sisi sote ni mashahidi wa jambo hilo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Mungu alimfufua huyu Isa na sisi sote ni mashahidi wa jambo hilo.

Tazama sura Nakili




Matendo 2:32
24 Marejeleo ya Msalaba  

Na ninyi pia mnashunudu, kwa kuwa tangu mwanzo mmekuwa pamoja nami.


akianza tangu ubatizo wa Yohana, hatta siku ile alipochukuliwa kwetu kwenda juu, lazima mmoja wao afanywe shahidi wa kufufuka kwake pamoja nasi.


Lakini mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemi, na katika Yahudi yote, na Samaria, na hatta mwisho wa inchi.


Lakini Mungu akamfufua:


kama ilivyoandikwa katika Zaburi ya pili, Wewe ndiwe Mwana wangu, mimi leo nimekuzaa.


Kwa maana ameweka siku atakayowahukumu walimwengu kwa haki, kwa ujumbe wa mtu yule aliyemchagua; nae amewapa watu wote bayana ya mambo haya kwa kumfufua katika wafu.


Mungu akamfufua, akilegeza utungu wa mauti, kwa sababu haikuwezekana ashikwe nao.


mkamwua yule Mkuu wa uzima, ambae Mungu amemfufua: na sisi tu mashahidi wake.


Mungu, akiisha kumfufua mtumishi wake Yesu, alimtuma kwenu ninyi kwanza, illi kuwabarikini kwa kumwepusha killa mmoja wenu na maovu wake.


jueni ninyi nyote na watu wote wa Israeli ya kuwa kwa jina la Yesu Mnazareti, ambae ninyi mlimsulibisha, Mungu akamfufua, kwa jina hilo mtu huyu anasimama mzima mbele yenu.


Na mitume wakatoa ushuhuda wa kufufuka kwake Yesu kwa uguvu nyingi. Neema nyingi ikawa juu yao wote.


Mungu wa baba zetu alimfufua Yesu, ambae ninyi mlimwua mkamtundika katika mti.


Naam, na sisi tumeonekana kuwa mashahidi wa uwongo wa Mungu; kwa maana tulimshuhudia Mungu ya kuwa alimfufua Kristo, ambae hakumfufua, ikiwa wafu hawafufuliwi.


Na Mungu alimfufua Bwana, na tena atatufufua na sisi kwa uweza wake.


tukijua kama yeye aliyemfufua Bwana Yesu atatufufua na sisi pamoja na Yesu, na kutuhudhurisha pamoja nanyi.


PAOLO, mtume (si mtume wa wana Adamu, wala hakutumwa na mwana Adamu, bali na Yesu Kristo, na Mungu Baba aliyemfufua),


aliyotenda katika Kristo alipomfufua, akamweka mkono wake wa kuume katika mbingu,


mkizikwa pamoja nae katikti ubatizo, katika huo mlifufuliwa pamoja nae, kwa kuziamini nguvu za Mungu aliyemfufua katika wafu.


Bassi, Mungu wa amani aliyemleta tena kutoka wafu Mchungaji wa kondoo aliye mkuu, kwa damu ya agano la milele, Bwana wetu Yesu,


ambae kwa yeye mlimwamini Mungu, aliyemfufua akampa utukufu; hatta imani yenu na tumaini lenu liwe kwa Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo