Matendo 19:36 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192136 Bassi kwa kuwa mambo haya hayawezi kukanushwa, imewapaseni kutulia, msifanye neno la haraka haraka. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema36 Hakuna anayeweza kukana mambo hayo. Hivyo basi, tulieni; msifanye chochote bila hadhari. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND36 Hakuna anayeweza kukana mambo hayo. Hivyo basi, tulieni; msifanye chochote bila hadhari. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza36 Hakuna anayeweza kukana mambo hayo. Hivyo basi, tulieni; msifanye chochote bila hadhari. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu36 Kwa hiyo, kwa kuwa mambo haya hayawezi kukanushwa, inawapasa mnyamaze na wala msifanye lolote kwa haraka. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu36 Kwa hiyo, kwa kuwa mambo haya hayakanushiki, inawapasa mnyamaze na wala msifanye lolote kwa haraka. Tazama sura |