Matendo 18:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19213 Akafika kwao; na kwa kuwa kazi yake na kazi yao ni moja, akakaa kwao, akafanya kazi yake, kwa maana walikuwa mafundi wa kufanyiza khema. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 na kwa vile wao walikuwa mafundi wa kushona mahema kama yeye, Paulo alikaa nao akafanya kazi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 na kwa vile wao walikuwa mafundi wa kushona mahema kama yeye, Paulo alikaa nao akafanya kazi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 na kwa vile wao walikuwa mafundi wa kushona mahema kama yeye, Paulo alikaa nao akafanya kazi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 naye kwa kuwa alikuwa mtengeneza mahema kama wao, akakaa na kufanya kazi pamoja nao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 naye kwa kuwa alikuwa mtengeneza mahema kama wao, akakaa na kufanya kazi pamoja nao. Tazama sura |