Matendo 18:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192113 wakisema, Mtu huyu huwavuta watu illi wamwabudu Mungu kinyume cha sharia yetu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Wakasema, “Tunamshtaki mtu huyu kwa sababu ya kuwashawishi watu wamwabudu Mungu kwa namna inayopingana na sheria.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Wakasema, “Tunamshtaki mtu huyu kwa sababu ya kuwashawishi watu wamwabudu Mungu kwa namna inayopingana na sheria.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Wakasema, “Tunamshtaki mtu huyu kwa sababu ya kuwashawishi watu wamwabudu Mungu kwa namna inayopingana na sheria.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Wakamshtaki wakisema, “Mtu huyu anawashawishi watu wamwabudu Mungu kinyume cha sheria.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Wakamshtaki wakisema, “Mtu huyu anawashawishi watu wamwabudu Mwenyezi Mungu kinyume cha sheria.” Tazama sura |