Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 18:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

1 BAADA ya mambo haya Paolo akatoka Athene akalika Korintho.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Baada ya hayo, Paulo aliondoka Athene, akaenda Korintho.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Baada ya hayo, Paulo aliondoka Athene, akaenda Korintho.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Baada ya hayo, Paulo aliondoka Athene, akaenda Korintho.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Baada ya haya, Paulo akaondoka Athene akaenda Korintho.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Baada ya haya, Paulo akaondoka Athene akaenda Korintho.

Tazama sura Nakili




Matendo 18:1
10 Marejeleo ya Msalaba  

Nao walimsindikiza Paolo wakampeleka hatta Athene; na wakiisha kupokea maagizo kuwapelekea Sila na Timotheo, ya kama wasikawie kumfuata, wakaenda zao.


Paolo alipokuwa akiwangojea katika Athene akaona jinsi mji ule ulivyojaa sanamu, roho yake ilichukizwa sana ndani yake.


Na Krispo, mkuu wa sunagogi, akamwamini Bwana pamoja na nyumba yake yote. Wakorintho wengi wakasikia, wakaamini, wakabatizwa.


IKAWA, Apollo alipokuwa Korintho, Paolo, akiisba kupita kati ya inchi za juu, akafika Efeso: akakutana na wanafunzi kadha wa kadba huko:


kwa kanisa la Mungu lililo katika Korintho, lililotakaswa katika Kristo Yesu, walioitwa wawe watakatifu pamoja na wote wanaoliitia jina la Bwana wetu Yesu Kristo killa mahali, Bwana wao na wetu:


PAOLO, mtume wa Yesu Kristo kwa mapenzi ya Mungu, na Timothieo ndugu yetu, kwa kanisa la Mungu lililo katika Korintho, pamoja na watakatifu wote walio katika inchi yote ya Akaia:


Lakini mimi namwitia Mungu awe shahidi juu ya roho yangu, ya kwamba, kwa kuwahurumia sijaenda Korintho.


Vinywa vyetu vimewafunukia ninyi, enyi Wakorintho; mioyo yetu imekunjuliwa.


Trofimo nalimwacha Mileto, hawezi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo