Matendo 17:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192114 Marra hiyo wale ndugu wakampeleka Paolo aende zake kana kwamba anakwenda njia ya pwani; bali Sila na Timotheo wakashinda huko. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Wale ndugu wakamsindikiza haraka aende pwani lakini Sila na Timotheo walibaki Berea. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Wale ndugu wakamsindikiza haraka aende pwani lakini Sila na Timotheo walibaki Berea. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Wale ndugu wakamsindikiza haraka aende pwani lakini Sila na Timotheo walibaki Berea. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Mara hiyo, wale ndugu wakamsafirisha Paulo hadi pwani, lakini Sila na Timotheo wakabaki Beroya. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Mara hiyo, wale ndugu wakamsafirisha Paulo hadi pwani, lakini Sila na Timotheo wakabaki Beroya. Tazama sura |