Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 16:32 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

32 Wakamwambia neno la Bwana, yeye na watu wote waliomo nyumbani mwake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Basi, wakamhubiria neno la Bwana yeye pamoja na jamaa yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Basi, wakamhubiria neno la Bwana yeye pamoja na jamaa yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Basi, wakamhubiria neno la Bwana yeye pamoja na jamaa yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Wakamwambia neno la Bwana Isa, yeye pamoja na wote waliokuwa nyumbani mwake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Wakamwambia neno la Bwana Isa, yeye pamoja na wote waliokuwako nyumbani mwake.

Tazama sura Nakili




Matendo 16:32
10 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaambia, Enendem nlimwenguni mwote, mkaikhubiri injili kwa killa kiumbe.


Wakamwambia, Mwamini Bwana Yesu Kristo, nawe utaokoka pamoja na uyumba yako.


Akawakaribisha saa ile ile ya usiku, akawaosha mapigo yao, akahatizwa, yeye ua watu wote wa nyumbani mwake wakati huohuo.


Nawiwa na Wayunani na washenzi, nawiwa na wenye hekima na wajinga.


kwa maana siionci haya Injili; kwa sababu ni uweza wa Mungu uuletao wokofu, kwa killa aaminiye, kwa Myahudi kwanza, hatta kwa Myunani pia.


Mimi, niliye mdogo kuliko yeye aliye mdogo wa watakatifu wote, nilipewa neema hii, kuwakhubiri Mataifa utajiri wake Kristo usiopimika;


Vivyo hivyo sisi tukiwatumaini kwa upendo mwingi, tuliona furaha kuwapeni, si Injili ya Mungu tu, bali na roho zetu pia, kwa sababu mmekuwa wapendwa wetu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo