Matendo 16:31 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192131 Wakamwambia, Mwamini Bwana Yesu Kristo, nawe utaokoka pamoja na uyumba yako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Wao wakamjibu, “Mwamini Bwana Yesu nawe utaokolewa pamoja na jamaa yako yote.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Wao wakamjibu, “Mwamini Bwana Yesu nawe utaokolewa pamoja na jamaa yako yote.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Wao wakamjibu, “Mwamini Bwana Yesu nawe utaokolewa pamoja na jamaa yako yote.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Wakamjibu, “Mwamini Bwana Isa Al-Masihi, nawe utaokoka, pamoja na watu wa nyumbani mwako.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Wakamjibu, “Mwamini Bwana Isa Al-Masihi, nawe utaokoka, pamoja na watu wa nyumbani mwako.” Tazama sura |